<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Thu, 16 Jul 2026 03:05:01 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Makala 500 za utafiti 500 zawasilishwa katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Afya katika Arbaeen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482493/makala-500-za-utafiti-500-zawasilishwa-katika-kongamano-la-6-la-kimataifa-la-afya-katika-arbaeen</link>
         <description>TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa katika sekretarieti ya kongamano hilo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Jul 2026 23:31:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Chuo cha Qur’ani nchini Kosovo chazindua darsa za likizo ya kiangazi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482492/chuo-cha-qurani-nchini-kosovo-chazindua-darsa-za-likizo-ya-kiangazi</link>
         <description>IQNA – Katika kuamsha ari ya mapenzi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu wakati wa likizo ya kiangazi, Chuo cha Tahfidh cha “Little Memorizers” (Wahifadhi Wadogo) mjini Pristina, kinachofanya kazi chini ya usimamizi na usimamizi wa kiroho wa Msikiti Mkuu wa Kosovo, kimezindua rasmi programu yake maalum ya “Darsa za Kiangazi za Mwaka 2026.”</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Jul 2026 23:11:22 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya ‘Imamu Shahidi’ Watunukiwa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482491/washindi-wa-tuzo-ya-kimataifa-ya-ushairi-ya-imamu-shahidi-watunukiwa</link>
         <description>IQNA – Washindi wa duru ya kwanza ya Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya “Imamu Shahidi” walitangazwa na kutunukiwa katika hafla iliyofanyika mjini Tehran siku ya Jumanne.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Jul 2026 22:35:14 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Shule ya Qur’an yazinduliwa katika mkoa wa Osh, Kyrgyzstan</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482490/shule-ya-quran-yazinduliwa-katika-mkoa-wa-osh-kyrgyzstan</link>
         <description>IQNA – Shule mpya ya Qur’an imezinduliwa katika eneo la Myrza-Ake, katika mji wa Uzgen, Mkoa wa Osh, nchini Jamhuri ya Kyrgyzstan.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Jul 2026 22:09:28 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Iran yatangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482489/iran-yatangaza-mipaka-ya-kutokea-na-kuingia-kwa-mazuwar-wa-kigeni-wa-arbaeen</link>
         <description>IQNA – Makao Makuu ya Ziyara ya Arbaeen nchini Iran, katika taarifa yake, yametangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen ya Imam Hussein (AS) wanaosafiri kwenda Iraq kupitia Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Jul 2026 21:56:56 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Chuo kipya cha Qur’ani chazinduliwa Yemen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482487/chuo-kipya-cha-qurani-chazinduliwa-yemen</link>
         <description>IQNA – Chuo Kikuu cha Qur’ani na Shule ya Mafunzo ya Kidini cha Juu kimefunguliwa katika mji wa Rida, mkoani Bayda, nchini Yemen, Jumapili.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Jul 2026 17:29:35 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Makumbusho ya Makka yanawasilisha historia ya kuhifadhiwa kwa Qur’ani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482486/makumbusho-ya-makka-yanawasilisha-historia-ya-kuhifadhiwa-kwa-qurani</link>
         <description>IQNA – Makumbusho mapya katika Eneo la Kitamaduni la Hira jijini Makka yanawazamisha wageni katika bahari ya historia ya uandishi wa Qur’ani Tukufu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Jul 2026 17:23:30 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kongamano lajadili 'Mwelekeo wa Kihistoria wa Sanaa ya Usomaji wa Qur’ani nchini Misri'</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482485/kongamano-lajadili-mwelekeo-wa-kihistoria-wa-sanaa-ya-usomaji-wa-qurani-nchini-misri</link>
         <description>IQNA – Maktaba ya Alexandria imeandaa kongamano lililopewa anuani ya: “Usomaji wa Qur’ani nchini Misri; Utafiti wa Ukuzaji na Kuporomoka Kwake,” ikiwa ni sehemu ya programu ya kiutamaduni katika Maonesho ya Vitabu ya Kimataifa ya maktaba hiyo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Jul 2026 17:17:53 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Vatikani yapinga madai ya Balozi wa Trump kuhusu Ukosoaji wa Papa kwa Vita dhidi ya Iran</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482484/vatikani-yapinga-madai-ya-balozi-wa-trump-kuhusu-ukosoaji-wa-papa-kwa-vita-dhidi-ya-iran</link>
         <description>IQNA – Vatikani (Vatican) imekataa jaribio la balozi wa utawala wa Trump katika Vatikan la kuwasilisha ukosoaji wa Papa Leo wa XIV dhidi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kana kwamba ulikuwa uingiliaji wa kisiasa badala ya msimamo wa kidini.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Jul 2026 17:05:12 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mwandishi wa Iraq: Ushiriki wa Mamilioni katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi una ujumbe wenye nguvu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482483/mwandishi-wa-iraq-ushiriki-wa-mamilioni-katika-mazishi-ya-kiongozi-shahidi-una-ujumbe-wenye-nguvu</link>
         <description>IQNA – Uwepo wa mamilioni ya waumini katika misafara ya mazishi iliyofanyika nchini Iran na Iraq kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, unabeba ujumbe muhimu, wa kina na wenye nguvu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Jul 2026 16:56:17 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482481/mikataba-ya-dola-milioni-13-4-katika-maonyesho-ya-halal-ya-d-8-indonesia</link>
         <description>IQNA – Waandaji wa Maonyesho ya Halal ya nchi za D-8 nchini Indonesia (D-8 HEI) 2026 wametangaza kuhitimishwa rasmi kwa hafla hiyo siku ya Jumapili, wakiripoti jumla ya mikataba yenye thamani ya Rupia (Rp) bilioni 242 sawa na 13.4 million USD za huduma na bidhaa za Halal.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Jul 2026 17:20:46 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482480/icro-imeandaa-tuzo-ya-kimataifa-ya-arbaeen-toleo-la-12</link>
         <description>IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Jul 2026 17:07:29 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482479/wanafunzi-kutoka-austria-wajifunza-kuhusu-uislamu-katika-kituo-cha-kiislamu-cha-vienna</link>
         <description>IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vienna, jijini Vienna nchini Austria, kimekaribisha makundi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini humo siku kadhaa kabla ya kuanza kwa likizo ya masomo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Jul 2026 16:59:13 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Albanese ataka hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482478/albanese-ataka-hati-ya-haraka-ya-kukamatwa-kwa-waziri-wa-vita-wa-utawala-wa-kizayuni</link>
         <description>IQNA – Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ametoa wito siku ya Jumapili kwa hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, Yisrael Katz, baada ya waziri huyo kukiri kufanya jinai za kivita huko Gaza na Lebanon.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Jul 2026 16:54:39 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mahujaji wa Umrah watembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu cha Madina</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482477/mahujaji-wa-umrah-watembelea-kituo-cha-uchapishaji-wa-qurani-tukufu-cha-madina</link>
         <description>IQNA – Kundi la waumini wanaotekeleza Hija ndogo ya Umrah lilitembelea siku ya Jumamosi Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu mjini Madina.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Jul 2026 16:51:16 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour huko Gaza chaendelea na shughuli zake licha ya masaibu ya vita</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482476/kituo-cha-qurani-cha-al-nour-huko-gaza-chaendelea-na-shughuli-zake-licha-ya-masaibu-ya-vita</link>
         <description>IQNA – Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour kilichopo kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kinaendelea na shughuli zake za kutoa elimu ya Kiislamu licha ya changamoto chungu nzima zinazotokana na vita vya kikatili.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Jul 2026 20:46:05 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Askofu wa Kyrgyzstan Asifu Misingi ya Kiungu na Heshima kwa Dini Iliyohimizwa na Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482475/askofu-wa-kyrgyzstan-asifu-misingi-ya-kiungu-na-heshima-kwa-dini-iliyohimizwa-na-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Askofu wa Kanisa la Othodoksi la Bishkek, nchini Kyrgyzstan, amemwelezea Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, kama kielelezo hai cha maadili na misingi ya Kiungu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Jul 2026 20:29:31 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI nchini Morocco yapangwa kufanyika Agosti</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482474/tuzo-ya-kimataifa-ya-qurani-ya-mohammed-vi-nchini-morocco-yapangwa-kufanyika-agosti</link>
         <description>IQNA – Toleo la 20 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI linatarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 10 hadi 12 Agosti, 2026.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Jul 2026 09:54:52 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Iran yalipiza kisasi, yashambulia kambi za kijeshi za Marekani katike eneo</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482473/iran-yalipiza-kisasi-yashambulia-kambi-za-kijeshi-za-marekani-katike-eneo</link>
         <description>IQNA-Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi vimetekeleza operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Qatar, Oman na Bahrain, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi endelevu ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Jul 2026 09:42:35 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ayatullah Mojtaba Khamenei: Kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi ni takwa la taifa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482472/ayatullah-mojtaba-khamenei-kulipiza-kisasi-cha-damu-ya-kiongozi-shahidi-ni-takwa-la-taifa</link>
         <description>IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, ameeleza shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja nguvu za adui na ya kihistoria” katika mazishi ya Kiongozi Shahidi, akisisitiza kuwa malipo ya kisasi dhidi ya “watenda jinai wauaji waliodhalilika” ni jambo la yakini.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>11 Jul 2026 16:40:31 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Elimu ya Qur’ani nyumbani inazidi kupata umaarufu nchini Algeria</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482471/elimu-ya-qurani-nyumbani-inazidi-kupata-umaarufu-nchini-algeria</link>
         <description>IQNA – Familia za Algeria zimeanza kuajiri walimu wa Qur’ani (wanaume na wanawake) ili kuwafundisha watoto wao nyumbani.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>11 Jul 2026 16:34:49 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Maelfu washiriki katika msafara wa maombolezo huko Kargil, India, kumuaga Imam Khamenei</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482470/maelfu-washiriki-katika-msafara-wa-maombolezo-huko-kargil-india-kumuaga-imam-khamenei</link>
         <description>IQNA – Msafara mkubwa wa kinembo wa maombolezo wenye anwani ya “Kumuaga Imam Khamenei” umefanyika huko Kargil, India, siku ya Alhamisi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>11 Jul 2026 16:27:35 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kiongozi Shahidi ni nembo ya heshima, utukufu, na mapambano</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482469/kiongozi-shahidi-ni-nembo-ya-heshima-utukufu-na-mapambano</link>
         <description>IQNA – Kamati za Muqawama wa Palestina (Palestinian Resistance Committees) zimesisitiza kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Khamenei, atabaki kuwa alama ya heshima, utukufu, mapinduzi, na muqawama.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>11 Jul 2026 16:22:00 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>